Player_logo Podcasts Community Create a Podcast
460>_736900

Mtanzania Joanna Ngwilizi Mbilikira anaeishi Wichitta, Kansas ameomba msaada hospitalini anakofanya kazi na kupewa vitanda 30 ili avipeleke Tanzania.Kuna mtanzania John Owenya ame contact The Guardian na ubalozi wetu na kulalamika na kusema kuwa Joana alidanganya kuhusu hali ya sekta ya afya nchini wakati anaandika proposal ya kuomba huo msaada.Sikiliza maoni yangu upate habari kamili.

[PLAY]