Mtanzania Joanna Ngwilizi Mbilikira anaeishi Wichitta, Kansas ameomba msaada hospitalini anakofanya kazi na kupewa vitanda 30 ili avipeleke Tanzania.Kuna mtanzania John Owenya ame contact The Guardian na ubalozi wetu na kulalamika na kusema kuwa Joana alidanganya kuhusu hali ya sekta ya afya nchini wakati anaandika proposal ya kuomba huo msaada.Sikiliza maoni yangu upate habari kamili.
Podcast Summary
Radio Butiama imeanzishwa ili kumuenzi Mwalimu J.K Nyerere kwa kutoa nafasi kwa wa-Tanzania kujadili na kuchambua mambo muhimu yanayohusu jamii nzima ya Tanzania.
About deus
Fans of this Show
Contact Info
Embed this Podcast
Favorite Links
Subscribe to this Podcast
Program Archive

![[PLAY]](http://butiama.podOmatic.com/img/play_button.gif)


