Player_logo Podcasts Community Create a Podcast
460>_632257

Katika hotuba yake kwa wazee wa Mwanza, Rais Jakaya M. Kikwete aliishambulia vikali filamu ya Darwin's Nightmare iliyotengenezwa na rais wa Ufaransa Hubert Sauper. Rais Kikwete aliendelea na kusema "Filamu hii imejaa uzushi na uongo wenye lengo la kupaka matope Tanzania na kuhujumu biashara ya samaki katika ziwa Victoria upande wa Tanzania. Je ni yupi alie sahihi Rais Kikwete au Hubert Sauper? Sikiliza maoni yangu na ya msikilizaji wetu Kennedy Opulukwa ambae ni mwenyeji wa Mwanza.