Katika hotuba yake kwa wazee wa Mwanza, Rais Jakaya M. Kikwete aliishambulia vikali filamu ya Darwin's Nightmare iliyotengenezwa na rais wa Ufaransa Hubert Sauper. Rais Kikwete aliendelea na kusema "Filamu hii imejaa uzushi na uongo wenye lengo la kupaka matope Tanzania na kuhujumu biashara ya samaki katika ziwa Victoria upande wa Tanzania. Je ni yupi alie sahihi Rais Kikwete au Hubert Sauper? Sikiliza maoni yangu na ya msikilizaji wetu Kennedy Opulukwa ambae ni mwenyeji wa Mwanza.
Podcast Summary
Radio Butiama imeanzishwa ili kumuenzi Mwalimu J.K Nyerere kwa kutoa nafasi kwa wa-Tanzania kujadili na kuchambua mambo muhimu yanayohusu jamii nzima ya Tanzania.
About deus
Fans of this Show
Contact Info
Embed this Podcast
Favorite Links
Subscribe to this Podcast
Program Archive



