Player_logo Podcasts Community Create a Podcast
460>_632255

Ukimwi umekuwa ni tishio kubwa barani Africa. Nchi nyingi zimejitahidi kupambana na ugonjwa huu hatari na zimeweza kufanikiwa. Lakini Tanzania imebakia kuwa ni mojawapo ya nchi zenye wagonjwa wengi wa ukimwi duniani. Je tunatakiwa kufanya nini ili kupambana na huu ugonjwa? Serikali yetu inafanya mambo ya kutosha ili kuutokomeza huu ugonjwa? Uganda waliwezaje kupunguza huu ugonjwa kwa asilimia kubwa? Msikilize Profesa Kilonzo wa hospitali ya Muhimbili akiongea toka Toronto, Canada ambako alikuwa akihudhuria International Aids Confrerence iliyofanyika kuanzia August 13th - 18th.

[PLAY]