Ukimwi umekuwa ni tishio kubwa barani Africa. Nchi nyingi zimejitahidi kupambana na ugonjwa huu hatari na zimeweza kufanikiwa. Lakini Tanzania imebakia kuwa ni mojawapo ya nchi zenye wagonjwa wengi wa ukimwi duniani. Je tunatakiwa kufanya nini ili kupambana na huu ugonjwa? Serikali yetu inafanya mambo ya kutosha ili kuutokomeza huu ugonjwa? Uganda waliwezaje kupunguza huu ugonjwa kwa asilimia kubwa? Msikilize Profesa Kilonzo wa hospitali ya Muhimbili akiongea toka Toronto, Canada ambako alikuwa akihudhuria International Aids Confrerence iliyofanyika kuanzia August 13th - 18th.
Podcast Summary
Radio Butiama imeanzishwa ili kumuenzi Mwalimu J.K Nyerere kwa kutoa nafasi kwa wa-Tanzania kujadili na kuchambua mambo muhimu yanayohusu jamii nzima ya Tanzania.
About deus
Fans of this Show
Contact Info
Embed this Podcast
Favorite Links
Subscribe to this Podcast
Program Archive
deus' Friends
|
|
Cal
<Cal> |
|
|
lecturas de 7mares
<lecturas de 7mares> |
|
|
Danger Zone Show
<Danger Zone Show> |
|
|
Dave Rabbit
<Dave Rabbit> |
|
|
Belinda
<Belinda> |
|
|
issamichuzi
<issamichuzi> |
|
|
David
<David> |
|
|
Mzee
<Mzee> |

![[PLAY]](/img/play_button.gif)


