Player_logo Podcasts Community Create a Podcast
460>_632249

Ni Jumamosi 09/30/2006 Je nini kinaendelea huko Detroit, Michigan? Pesa za kusafirisha miili kwenda nyumbani imepatikana? Je ubalozi ulisaidia gharama zozote? Je ni kweli Rais Kikwete alisema serikali itagharamia usafirishaji? Je kuna mtu yoyote kakamatwa kutokana na haya mauaji? Kisa kilikuwa ni nini? Sikiliza mahojiano niliyofanya na Mheshimiwa Ayub Mfinanga, ambae ni Mwenyekiti wa chama cha Wa-Tanzania huko Michigan.

http://home.insight.rr.com/duesville/waltermazula.htm

[PLAY]