John Mnyika ni mmoja wa vijana wanaokuja juu kwenye siasa za Tanzania.Akiwa na umri wa miaka 26 tu ameweza kushangaza wengi katika ulimwengu wa siasa.Mwaka jana aligombania kiti cha Ubunge kwenye jimbo la Ubungo na makali yake yalionekana.Watu wengi waliomsikia au walio karibu nae wanasema John Mnyika ndio atakuja kuwa mkombozi wa Tanzania. Je Bw. Mnyika ametokea wapi? Yuko wapi na anaelekea wapi? Anaongozwa na falsafa gani? Kwa nini ameingia katika siasa? Kwa nini alijiunga na CHADEMA?
Tovuti ya CHADEMA
www.chadema.net

![[PLAY]](/img/play_button.gif)


