Mheshimiwa Augustine Lyatonga Mrema ni mmoja wa wanasiasa maarufu nchini Tanzania. Lakini hivi sasa umaarufu wake umeanza kupungua kwa kasi kubwa na watu wengi wanamuona kama kaporomoka kisiasa. Je Mrema ametoka wapi? Yupo wapi na anaelekea wapi? Ni sababu gani zilimtoa CCM na NCCR-MAGEUZI? Je ni kweli Mrema kapandikizwa na CCM ili kuua upinzani? Na vipi kuhusu shahada yake? Sikiliza zaidi.
Podcast Summary
Radio Butiama imeanzishwa ili kumuenzi Mwalimu J.K Nyerere kwa kutoa nafasi kwa wa-Tanzania kujadili na kuchambua mambo muhimu yanayohusu jamii nzima ya Tanzania.
About deus
Fans of this Show
Contact Info
Embed this Podcast
Favorite Links
Subscribe to this Podcast
Program Archive
deus' Friends
|
|
Cal
<Cal> |
|
|
lecturas de 7mares
<lecturas de 7mares> |
|
|
Danger Zone Show
<Danger Zone Show> |
|
|
Dave Rabbit
<Dave Rabbit> |
|
|
Belinda
<Belinda> |
|
|
issamichuzi
<issamichuzi> |
|
|
David
<David> |
|
|
Mzee
<Mzee> |

![[PLAY]](http://butiama.podOmatic.com/img/play_button.gif)


