Mheshimiwa Amina Chifupa Mpakanjia ni mmoja wa wanasiasa chipukizi wanaokuja juu sana kwenye siasa ya Tanzania. Akiwa na umri wa miaka 25 tu ameweza kuwashangaza watu wengi kwa mambo makubwa anayoyafanya. Je Mh. Amina Chifupa ametokea wapi? Kwa nini aliingia kwenye siasa? Nani alimshauri? Kwa nini kawavalia njuga wauza madawa ya kulevya? Je ana ndoto za kuja kugombea urais hapo baadae?
Podcast Summary
Radio Butiama imeanzishwa ili kumuenzi Mwalimu J.K Nyerere kwa kutoa nafasi kwa wa-Tanzania kujadili na kuchambua mambo muhimu yanayohusu jamii nzima ya Tanzania.
About deus
Fans of this Show
Contact Info
Embed this Podcast
Favorite Links
Subscribe to this Podcast
Program Archive
deus' Friends
|
|
Cal
<Cal> |
|
|
7mares
<7mares> |
|
|
Danger Zone Show
<Danger Zone Show> |
|
|
Dave Rabbit
<Dave Rabbit> |
|
|
Belinda
<Belinda> |
|
|
issamichuzi
<issamichuzi> |
|
|
David
<David> |
|
|
Mzee
<Mzee> |

![[PLAY]](/img/play_button.gif)


