Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe ni mmoja wa wabunge vijana machachari na maarufu kwenye siasa ya Tanzania. Akiwa na umri wa miaka 30 tu, Mheshimiwa Zitto Kabwe ni mbunge kijana kuliko wabunge wote wa kuchaguliwa. Je Zitto Kabwe ametokea wapi? Yupo wapi? Anaelekea wapi? Kwa nini aliingia kwenye siasa? Je ana matatizo gani Mheshimiwa Spika? Je wapinzani wana imani na Spika? Je ni kweli ana mpango wa kuhama CHADEMA na kuhamia CCM?
Podcast Summary
Radio Butiama imeanzishwa ili kumuenzi Mwalimu J.K Nyerere kwa kutoa nafasi kwa wa-Tanzania kujadili na kuchambua mambo muhimu yanayohusu jamii nzima ya Tanzania.
About deus
Fans of this Show
Contact Info
Embed this Podcast
Favorite Links
Subscribe to this Podcast
Program Archive
deus' Friends
|
|
Cal
<Cal> |
|
|
7mares
<7mares> |
|
|
Danger Zone Show
<Danger Zone Show> |
|
|
Dave Rabbit
<Dave Rabbit> |
|
|
Belinda
<Belinda> |
|
|
issamichuzi
<issamichuzi> |
|
|
David
<David> |
|
|
Mzee
<Mzee> |

![[PLAY]](/img/play_button.gif)


