Player_logo Podcasts Community Create a Podcast
803774791
460>_632239

Mheshimiwa Kleist Sykes, ambae ni mtoto wa marehemu Abdulwahid Sykes anaongelea mchango wa familia ya Sykes kwenye uhuru wa Tanganyika na kitabu cha Mohamed Said. Je nini maoni yake juu ya kitabu cha The Life and Times of Abdulwahid Sykes? Je alimpa ushauri gani Mohamed Said? Je kuna ukweli wowote kuwa waislam ndio peke yako waliongoza harakati za uhuru? Je atapenda watanzania wamkumbuke vipi Mzee Abdul Sykes?

[PLAY]