Mheshimiwa Mhonga Said Rhuwanya ni mmoja wa wabunge vijana wanaokuja juu. Akiwa na umri wa miaka 26 aliwashangaza wengi alipochaguliwa na CHADEMA kuwa Mbunge Viti Maalum. Huko Bungeni amekuwa ni mmoja wa wabunge vijana walio makini na waliojikita kuikomboa nchi yetu Je Mheshimiwa Mhonga ametokea wapi? Ni sababu gani zilimfanya aingie kwenye siasa? Kwa nini alijiunga na CHADEMA?
Podcast Summary
Radio Butiama imeanzishwa ili kumuenzi Mwalimu J.K Nyerere kwa kutoa nafasi kwa wa-Tanzania kujadili na kuchambua mambo muhimu yanayohusu jamii nzima ya Tanzania.
About deus
Fans of this Show
Contact Info
Embed this Podcast
Favorite Links
Subscribe to this Podcast
Program Archive
deus' Friends
|
|
Cal
<Cal> |
|
|
7mares
<7mares> |
|
|
Danger Zone Show
<Danger Zone Show> |
|
|
Dave Rabbit
<Dave Rabbit> |
|
|
Belinda
<Belinda> |
|
|
issamichuzi
<issamichuzi> |
|
|
David
<David> |
|
|
Mzee
<Mzee> |

![[PLAY]](/img/play_button.gif)


