Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Amerika ni mojawapo ya idhaa za nje zinazosikilizwa sana Tanzania. Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili Emmanuel Muganda anatuelezea jinsi idhaa hiyo inavyofanya kazi. Je idhaa hiyo ilianzishwa lini? Nini yalikuwa mdhumuni ya kuianzisha? Ni Radio gani Tanzania zinazorusha matangazo yao? Je nini maoni yake juu ya dhana moya ya uandishi wa raia? Je Africa ina nafasi gani katika teknolojia mpya ya habari na mawasiliano?
Podcast Summary
Radio Butiama imeanzishwa ili kumuenzi Mwalimu J.K Nyerere kwa kutoa nafasi kwa wa-Tanzania kujadili na kuchambua mambo muhimu yanayohusu jamii nzima ya Tanzania.
About deus
Fans of this Show
Contact Info
Embed this Podcast
Favorite Links
Subscribe to this Podcast
Program Archive
deus' Friends
|
|
Cal
<Cal> |
|
|
7mares
<7mares> |
|
|
Danger Zone Show
<Danger Zone Show> |
|
|
Dave Rabbit
<Dave Rabbit> |
|
|
Belinda
<Belinda> |
|
|
issamichuzi
<issamichuzi> |
|
|
David
<David> |
|
|
Mzee
<Mzee> |

![[PLAY]](/img/play_button.gif)


