Player_logo Podcasts Community Create a Podcast
4182164
460>_632236

Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Amerika ni mojawapo ya idhaa za nje zinazosikilizwa sana Tanzania. Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili Emmanuel Muganda anatuelezea jinsi idhaa hiyo inavyofanya kazi. Je idhaa hiyo ilianzishwa lini? Nini yalikuwa mdhumuni ya kuianzisha? Ni Radio gani Tanzania zinazorusha matangazo yao? Je nini maoni yake juu ya dhana moya ya uandishi wa raia? Je Africa ina nafasi gani katika teknolojia mpya ya habari na mawasiliano?

http://www.voanews.com/swahili/

[PLAY]