Cosmas Chidumule anafahamika kwa wengi kama Gwiji la Muziki wa Tanzania.Ni mtunzi na muimbaji wa vibao vingi vilivyopata umashahuri kwenye ulimwengu wa muziki.Baadhi ya vibao mashuhuri ni kama Neema, usitumie pesa kama fimbo, kifo na nalala kwa taabu. Pia ameimba na bendi nyingi mashuhuri kama butiama jazz, Vijana Jaz, Super Matimila, Dar International, Mlimani Park na wana Ndekule.Lakini hivi sasa Cosmas Chidumule ni mtu tofauti? Amebadilisha maisha yake kabisa. Je huyu Gwiji la Muziki ametokea wapi? Yuko wapi? Anaenda wapi? Kwa nini ameokoka? Nini kilitokea hadi kubadilisha maisha yake? Nini maoni yake juu ya muziki wa kizazi kipya Bongo Flava? Sikiliza zaidi.
Podcast Summary
Radio Butiama imeanzishwa ili kumuenzi Mwalimu J.K Nyerere kwa kutoa nafasi kwa wa-Tanzania kujadili na kuchambua mambo muhimu yanayohusu jamii nzima ya Tanzania.
About deus
Fans of this Show
Contact Info
Embed this Podcast
Favorite Links
Subscribe to this Podcast
Program Archive
deus' Friends
|
|
Cal
<Cal> |
|
|
lecturas de 7mares
<lecturas de 7mares> |
|
|
Danger Zone Show
<Danger Zone Show> |
|
|
Dave Rabbit
<Dave Rabbit> |
|
|
Belinda
<Belinda> |
|
|
issamichuzi
<issamichuzi> |
|
|
David
<David> |
|
|
Mzee
<Mzee> |

![[PLAY]](/img/play_button.gif)


