Josiah Kibira ni mtengeneza sinema wa ki-Tanzania anaeishi kwenye jimbo la Minesotta, Marekani. Jina lake si geni kwa wa-tanzania wengi. Filamu zake alizotengeneza na zikapata umaarufu ni BongoLand na Tusamehe. Je Bw. Kibira ametokea wapi? Yupo wapi na anaelekea wapi? Je hizi filamu zake zina ujumbe gani kwa wa-Tanzania? Ni kwa nini anatumia lugha ya Kiswahili kwenye hizi filamu? Je Bwana Kibira ana mpango wa kutengeneza filamu gani nyingine kuhusu Tanzania?
Unaweza kutembelea tovuti ya Kibira Films International:
www.kibirafilms.com

![[PLAY]](/img/play_button.gif)


