Player_logo Podcasts Community Create a Podcast
777437142
460>_632241

Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe ni mmoja wa wabunge vijana machachari na maarufu kwenye siasa ya Tanzania. Akiwa na umri wa miaka 30 tu, Mheshimiwa Zitto Kabwe ni mbunge kijana kuliko wabunge wote wa kuchaguliwa. Je Zitto Kabwe ametokea wapi? Yupo wapi? Anaelekea wapi? Kwa nini aliingia kwenye siasa? Je ana matatizo gani Mheshimiwa Spika? Je wapinzani wana imani na Spika? Je ni kweli ana mpango wa kuhama CHADEMA na kuhamia CCM?

[PLAY]