Player_logo Podcasts Community Create a Podcast
638098591
460>_632253

Mwisho wa juma hili nilipata bahati ya kufanya mahojiano na Professor Joseph Mbele ambae ni mwandishi wa kitabu maarufu hapa Marekani kinachoitwa Africans and Americans: Embracing Cultural Differences. Professor Mbele kwa sasa anaishi huko NorthFiled Minnesota ambako anafundisha St. Olaf College tangia mwaka 1991.Kwenye kitabu chake ameelezea kiundani tofauti kati ya utamaduni wa Wamarekani na Waafrika.Je ni vitu gani waafrika inapaswa kujifunza toka kwa wamarekani? Je kuna uwiano wowote kati ya hizi tamaduni mbili? Je ni nini tatizo kati ya Waafrika na Wamarekani weusi? Sikiliza zaidi.

Unaweza kununua kitabu hapa:
www.lulu.com/content/105001

Professor Mbele website:
http://www.africonexion.com/

[PLAY]